MAONI YA MHARIRI »

01Mar 2024
Nipashe

FEBRUARI 25, mwaka huu, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, alifanya ziara katika mradi wa kufua umeme wa Bwawa la Julius...

27Feb 2024
Nipashe

HATIMAYE serikali imeingiza megawatt 235 kwenye Gridi ya Taifa ambazo zimepunguza mgawo wa umeme kwa asilimia 85, baada ya kuwasha mtambo namba...

01Sep 2023
Nipashe

UZAZI salama unajali suala la umri sahihi wa mwanamke kupata mtoto na pale anapojifungua chini ya miaka 18 inachukuliwa kuwa hatari kwa maisha ya...

09Jun 2023
Nipashe

WIMBI la wizi wa vibao vya anwani za makadhi katika baadhi ya mikoa unaofanywa na watu wanaodaiwa kwenda kuviuza kama vyuma chakavu ni kurudisha...

05Jun 2023
Nipashe

WAWAKILISHI wa Tanzania juzi walihitimisha safari yao ya kuwania kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika baada ya mchezo wa pili wa fainali...

02Jun 2023
Nipashe

SERIKALI kupitia Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, imezionya shule binafsi zinazozuia wanafunzi kwenda likizo.

31May 2023
Nipashe

HIVI karibuni, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) lilitangaza kuwa limeandaa mazingira ya kuwezesha vijana wote wanaomaliza kidato cha sita mwaka huu,...

30May 2023
Nipashe

UBUNIFU wa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Jokate Mwegelo, hauna budi kuungwa mkono na watu wote ili kunusuru wajawazito na changamoto za uzazi.

26May 2023
Nipashe

WIKI hii mkoani Dar es Salaam, kuna matukio mawili yaliyofuatana ndani ya siku mbili na maeneo yaliyo karibu.

15May 2023
Nipashe

WAWAKILISHI pekee wa Tanzania kwenye michuano ya kimataifa kwa ngazi ya klabu barani Afrika, Yanga, watashuka katika Uwanja wa Royal Bafokeng...

Pages