SAFU »

03Mar 2024
Godfrey Mushi
Nipashe Jumapili
WARAKA WA NDANI

UKIENDA katika Mahakama za Mwanzo katika ukanda wa juu wa Old Moshi, mkoani Kilimanjaro, nusu ya wahalifu wanaopandishwa kizimbani wanatoka Mbokomu.

01Mar 2024
Yasmine Protace
Nipashe
Muungwana Lazima Nilonge

KWA muda wa miaka mitano na siku zaidi ya 114, vyama vya siasa havikuwa na fursa ya kufanya mikutano ya hadhara kama sehemu ya shughuli ya siasa nchini.

19Jun 2023
Flora Wingia
Nipashe
Maisha Ndivyo Yalivyo

​​​​​​​KARIBU msomaji wangu, leo tunaendeleza mada iliyopita kuhusu wakwe. Nilitaja mambo kadhaa ambayo mke anapaswa kujua kuhusu wakwe. Nikasema ipo misingi na kanuni ambazo tunapaswa kuzingatia...

09Jun 2023
Sabato Kasika
Nipashe
Muungwana Lazima Nilonge

TAASISI ya Chakula na Lishe Tanzania, kwa kushirikiana na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Malaria, zimetoa ripoti ya utafiti wa kutathmini kiwango cha maambukizi ya malaria na utapiamlo miongoni mwa...

02Jun 2023
Anthony Gervas
Nipashe
Muungwana Lazima Nilonge

TUNAKUKARIBISHA mgeni, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Amos Makalla, ukitokea Dar-es Salaam, ambaye tunaamini sasa umekuja hapa mkoani tuungane pamoja kuchapa kazi za maendeleo na wananchi ukiwa...

31May 2023
Sabato Kasika
Nipashe
Muungwana Lazima Nilonge

HIVI karibuni, Mwenge wa Uhuru ulihitimisha mbio zake mkoani Pwani, ukiwa umepitia miradi 99 yenye thamani ya Shilingi trilioni 4.46 huku kukiwa hakuna hata mradi mmoja uliokataliwa.

30May 2023
Sabato Kasika
Nipashe
Muungwana Lazima Nilonge

RUSHWA ni adui wa haki, utu na heshima ya binadamu, vilevile vitendo vya utoaji na upokeaji rushwa, vimekuwa vikileta vilio karibu sekta zote, sehemu ya kazi na maeneo mengine ya kutolea huduma za...

10May 2023
Sabato Kasika
Nipashe
Muungwana Lazima Nilonge

SASA ni wazi kilio cha wadau hasa wanasiasa waliokuwa wakitamani kufufuliwa kwa mchakato wa katiba mpya kimesikika, hiyo ni kutokana na hatua mbalimbali zinazochukuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan...

09May 2023
Sabato Kasika
Nipashe
Muungwana Lazima Nilonge

MIAKA ya hivi karibuni, umeibuka mtindo wa baadhi ya wanafunzi wanaochagulia kuanza kidato cha kwanza kutoripoti katika shule walizopangiwa, huku kukiwa hakuna taarifa zozote za kutoripoti.

08May 2023
Adam Fungamwango
Nipashe
Muungwana Lazima Nilonge

WAKATI tunasoma shule kuanzia shule ya msingi hadi sekondari, tumefundishwa vitu vingi ikiwamo historia za mashujaa wetu, kuna Mtemi Milambo, Mkwawa, Pazi, Songea Mbano, Kinjekitile na wengine...

04May 2023
Adolf F. Mkenda
Nipashe
Muungwana Lazima Nilonge

MITIHANI ya mwisho ya kidato cha sita nchini, imeanza rasmi tarehe mbili mwezi huu wa tano na itakamilika tarehe 22 ya mwezi huu. Mitihani hii itafanyika, sambamba na mitihani ya wanafunzi...

01May 2023
Flora Wingia
Nipashe
Maisha Ndivyo Yalivyo

KARIBU tena msomaji wangu tuendelee kuelimishana kuhusu mikiki mikiki ya maisha. Mengi yamejificha katika familia zetu, huku mengine tukiyashuhudia na kudhani kuwa Maisha Ndivyo Yalivyo kumbe ni...

19Apr 2023
Christina Mwakangale
Nipashe
Muungwana Lazima Nilonge

KATI ya masuala ambayo Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, mara tu baada ya Uhuru, alizama kuyapa msisitizo kwa vitendo, ni kuwapo mikakati suala la usafi katika jamii.

Pages