Mkurugenzi Mtendaji wa Kundi la EABL, Jane Karuki (pichani kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa SBL, Obinna Anyalebechi (pichani kulia) wakikata utepe kama ishara ya kuzindua rasmi Kampeni ya Maokoto Ndani ya Kizibo huko Dar es Salaam.
Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, akiwa na mgeni wake, Rais wa Romania, Klaus Iohannis, alipowasili Ikulu jijini Dar es Salaam, Novemba 17, mwaka jana. PICHA: MAKTABA.
Mkurugenzi Mtendaji wa EABL, Jane Karuku akipanda mti katika kiwanda cha Serengeti Breweries Ltd (SBL) kilichopo Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro katika kampeni ya kulinda mazingira.